Mweye batoto ba mu jado habari ya kwenu? dju ja nini munapoteya tu amusikilike. Inapashwa siku modja tukutaniye ku bar Catharina, kwa lusanga, ...tu kunye minkoyo na tu mpumu, kisha tu babike binkoni bale bantu ya mu kamalondo wa ntashi ju ba na penda paka kula tu ba bitoyo ya ku djadja sa ba djandju e bale mbantu bakingali tu? sasa barafiki yangu ba Karthof beko wapi? Maurice, Henri he ba bwana si munatutumiyako tu ba kapolobwe uuu butamu sana, alafu ule Mudya Ngombe wa ku Athénée Royale de Likasi Mr Luro, mr Box, Mr Renard wangu ô lala, anaisha tu kufwa mungu amulinde kama ana niona tu l'ilustre bawaart, mi pale na tetemeka sana nazania kama walace na kabeya na mudia ngombe ba di nishongeya, sasa ye alikuya rafikiyake ya baba yangu djo pale mambo ya Zamashe, na ba wadile mfumu équipe ile ya muloko yangu anaisha ku fariki oho mungu wangu tu natoka mbali kaabisa, na waza ba Henri Salumu, ba famille Ntumba, ba Mikiti chef de gare, ba papa L&ambert Mulongo, beko wapi ba Mulongo dada yabo shali anza kutumika ku tabac ya Lubumbashi, ba marzeti paul marzeti, siku yote anakuya na ba sardine mu masomo, mr Luro ana muvumbula, ba Nawezi mutoto ya parrain wangu Nawezi George na shikola wabo beko wapi bale mbatu joté ho lalalala muni tafutiyebo ba sumpi, na ba dédé.... mina zaniya kama mweye bote muna fushama tu mu belgique, sasa nili sikiya kama BUNGA de Kimputu Fabien Ngoi ye ana liswaka ku Cana, si ni moyomba yangu le tout premier bunga de kimputu, alafu frère wetu GOLOSHI mumuombeye kabisa, kama she bantu bakifita atuna na ba saints wetu tu ni Fulele Goloshi n buyi ya mushele bajama, bayama, musikiye sisi ba kiro devise AMUSHELE....
Aksanti kwenu, mwenyezi amibariki, djama, na watoto wenu wote, na miye peke yangu na mi bariki kwa djina la Baba na la mwana, na la rho mtakatiku
Siku idjayo, ta miyadinkiya baba wetu mu swahili, manayake munaisha ku poteza kidogo mambo yetu ya shinishini.
nani ata ni hitisha mu vacances kwake? niko tayari mbele nipite kwa mwanaume eko pale pembeni ya Mons LUMUMA na maman TETE
Bisous et à tout de suite ok !
BWT Augustin kakasu ka budimi, ba taya mbuji wa kusaya tubwaaaa ça vous dit qlq chose ? en kilubakat ça pas de sens pipo,popi
- De
BAWART
le 7/8/2008.
Pays: France
Région: Gironde
|